Kesi ya unyang’anyi kwa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai ole Sabaya pamoja na wenzake wawili,imeahirishwa mara baada ya shahid wa upande wa jamhuri kupata dharura.

Wakili wa serikali kwenye kesi hiyo Trasila Gervas ameiambia mahakama mbele ya hakimu wa mahakama ya hakimu mkazi Salome Mshasha kuwa shahidi waliyempanga ameshindwa kufika mahakamani hapo nakuahidi mashahidi kuwepo mahakamani july 16,2021


chanzo millard ayo


Reviewed by RICH VOICE on Julai 03, 2021 Rating: 5

Hakuna maoni

Chapisho Lililoangaziwa

Thursday, September 15, 2016 Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Septemba 15 ...