Saturday, October 15, 2016

Majina Ya Wanafunzi Waliopata Mkopo Mwaka Wa Masomo 2016/2017----(Awamu ya Kwanza)

SeeBait

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu wametangaza majina ya wanafunzi waliopata mkopo 2016/2017 awamu ya kwanza.
Hapa ni link ya kuangalia kama umepata au laah unaandika namba ya form 4 na code walizokupa hapo.

Kumbuka format ya form 4 no. ni s0001.0001.0001 na sio s0001/0001/0001

Link hii hapa http://olas.heslb.go.tz/index.php/allocation/allocations/fresher_login
 
Chini limeambatanishwa FILE la Orodha ya Waliopata Mkopo 2016/17  
1.First List Of Loan Beneficiaries For Academic Year 2016/2017. << Click here>>
  


2.First Year Loan Allocations Breakdown for 2016/17 . <<Click here>>
 
 ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Saturday, October 15, 2016

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Octoba 15

SeeBait

Reviewed by RICH VOICE on Oktoba 15, 2016 Rating: 5

Hakuna maoni

Chapisho Lililoangaziwa

Thursday, September 15, 2016 Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Septemba 15 ...